• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA RC MWASSA WILAYA YA MISSENYI

Posted on: August 7th, 2023

Leo tarehe 07/08/2023 Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amefanya ziara ya siku moja katika Wilaya ya Missenyi kwa ajili ya kukagua Miradi ya Maendeleo, kufanya vikao vya ndani na watumishi wote pamoja na kufanya mkutano ya hadha na wananchi wa wilaya ya Missenyi.

Akiwa Wilayani Missenyi amepongeza jitihada za wilaya haswa katika kushirikiana vizuri kati ya Mkuu wa Wilaya na  Halmashauri katika ukusanyaji wa mapato hadi kuvuka malengo Pamoja na usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo.

‘’Niwapongeze kwani nimetembele miradi ya maendeleo kwakweli ni mizuri sana na nampongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwani kama alivyosema Mwenyekiti wa Halmashauri kwamba kwa Mwaka wa fedha 2022/2023 Halmmashauri ilipokea zaidi ya bilioni 09 za miradi ya Maendeleo’’ Alisema Hajjat Mwassa.

Hata hivyo alipongeza juhudi za ukusanyaji mapato hadi kuvuka lengo la ukusanyaji hadi kufikia asilimia 127 na kuilekeza Halmashauri kuanza kufikiria  kufanya uwekezaji katika miradi ya kimkakati ili kuongeza makusanyo Zaidi Pamoja na kuwataka wananchi kuongeza kilimo cha kahawa kwani Halmashauri inatoa miche ya Kahawa bure na mwaka huu imetenga milioni 32 kwa ajili ya kununua miche hio.

Kwa upande wake katibu tawala wa Mkoa wa Kagera Ndg. Thoba Nguvila ameitaka halmashauri kuhakikisha wanaweka kipaumbele katika kupunguza au kumaliza kabisa madeni ya watumishi kupitia makusanyo ya ziada walioyapata.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Adv. John Paul Wanga alisema mkakati wake kwasasa ni kuongeza ukusanyaji Zaidi kutoka bilioni 6.2 ya mwaka uliopita  hadi kufikia bilioni 8 kwa mwaka huu wa fedha 2023/2024.

‘’Mheshimiwa mkuu wa mkoa mimi nimedandia tuu gari sifa zote zinastahili kwa walikuwepo ila mimi ni mgeni hivyuo niwapongeze wataalamu wangu wote kwani wamenionyesha mwanzo mzuri na uelekeo mzuri wa kuyafikia malengo ya Halmashauri yetu.

Ziara hii ya Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera imehitimishwa leo katika Wilaya ya Missenyi baada ya  kuzunguka katika wilaya zote za Mkoa wa Kagera.


Tarifa Kwa Umma

  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA UFAFANUZI WA TAARIFA INAYOSAMBAA MITANDAONI KUHUSU BAADHI YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI MISSENYI KUWAAGIZA WANAFUNZI VYUMA CHAKAVU June 03, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MAPOKEZI YA SHILINGI MILIONI 445 MWEZI MEI KUTOKA SERIKALI KUU May 13, 2025
  • JIMBO LA NKENGE LIMEFANIKIWA KUBADILISHWA JINA RASMI NA KUWA JIMBO LA MISSENYI. May 12, 2025
  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • NGO's ZAASWA KUTOKUKUBALIANA NA MASHARTI MAGUMU YA WAFADHILI

    June 26, 2025
  • MISSENYI YATIA SAINI MKATABA WA UJENZI SOKO LA KISASA BUNAZI

    June 20, 2025
  • MISSENYI YAPATA HATI SAFI MIAKA 10 MFULULIZO

    June 17, 2025
  • PONGEZI NA TUZO ZATOLEWA KWA WALIMU, SHULE NA KATA KWA UFAULU MWAKA 2024

    June 05, 2025
  • Tazama zote

Video

TUMEPATA HATI SAFI, TUJIPONGEZE
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa