• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara na Vitengo
      • Idara ya Utawala na Utumishi
      • Idara ya Kilimo Ushirika na Umwagiliaji
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Idara ya Elimu ya Secondari
      • Idara ya Ujenzi
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Idara ya Mipango Takwimu na Uuatiliaji
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Manunuzi na Ugavi
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha mbalimbali

KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA RASMI UJENZI WA MRADI WA MAJI WA KYAKA-BUNAZI

Posted on: June 1st, 2020

Katibu Mkuu  wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo amezindua rasmi ujenzi wa mradi wa maji wa Kyaka-Bunazi unaotegemewa kuanza hivi karibuni. Akiongea na wadau mbalimbali waliohudhuria hafla hiyo katika Ukumbi wa William Katunzi uliopo wilayani hapa, katibu mkuu amesema amepata furaha ya pekee kuzindua mradi huu mkubwa ukiwa ni mradi wa kwanza Tanzania unaotumia maji ya Mto kagera.

Mradi huu wa unatarajiwa kutumia kiasi cha Tsh. Bilioni 15.1 zote zikiwa ni fedha za ndani ambapo kiasi cha Tsh. Milioni 650 zimeshatengwa tayari. Mradi huu ni moja ya miradi ipatayo 10 inayotekelezwa katika miji 13 ya kanda ya ziwa.

Katibu mkuu hakusita kuelezea umuhimu wa mradi huu kwa kutaja sababu kuu tatu zilizopelekea kutekeleza mradi huu ambazo ni Miji ya Kyaka na Bunazi kutokuwa na maji kabisa, pili kutekeleza agizo la Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. John Joseph Pombe Magufuri na tatu hali ya mradi huu kuwa wa kwanza wa Serikali kutumia maji yamto Kagera.

Katika utekelezaji wa mradi huu, katibu mkuu amesema hatua za ujenzi wa mradi umegawanyika katika hatua kuu mbili ambapo hatua ya kwanza itahusisha shughuri kama ujenzi wa chanzo cha maji, ujenzi wa tenki kubwa la maji, kutengeneza mtambo wa kuchuja na kusafisha maji pamoja na kutandaza bomba kutoka kwenye chanzo kwenda kwenye tanki. Hatua hii inataraji kugharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 9.4. Hatua ya pili itahusisha ujenzi wa mtandao wa usambazaji wa maji kwa wananchi kutoka kwenye tanki kuu ambapo hatua hii itagharimu kiasi cha Tsh. Bilioni 5.7

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Missenyi ambaye pia ni Diwani wa kata ya Kyaka Mh. Projestus Tegamaisho amekiri kupokea mradi huu kwa namna ya pekee huku akiwataka wananchi wa Kyaka na vitongoji vyake kuupokea na kuulinda kwa nguvu zao zote  kwani si tu utamtua mwanamke ndoo kichwani bali ni fursa kwao pia kwa kuwa utawainua kiuchumi kutokana na matumizi ya maji katika kilimo na shughuli mbalimbali za kijamii huku akiimwagia sifa serikali ya awamu ya Tano kuwa ndio serikali ambayo imevunja rekodi kwa kufanikisha kupeleka maji kwa wananchi kutoka mto Kagera.

Naye Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi ndugu Innocent Mukandala ameishukuru Serikali kwa kuruhusu utekelezaji wa mradi huu kwani utakuwa suluhisho kubwa la tatizo la maji katika maeneo yote yatakayofikiwa na mradi kwani kwa sasa hali ya mtandao wa maji kwa Wilaya ya Missenyi ni asilimia 62 huku akiwashukuru pia wadau wa maendeleo kama World vision kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maji vijijini.

Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa kijiji cha Bulifani ambacho ndipo patakaopjengwa chanzo kikuu cha maji ameishukuru serikali kwa kuleta mradi huu mkubwa katika maeneo hayo huku akimuomba mkandarasi aliyepewa kazi ya ujenzi kutumia vijana wa maeneo yanayozunguka mradi na si kuleta watu kutoka nje hata kwa kazi wanazoweza kufanya.

Tarifa Kwa Umma

  • MATOKEO KIDATO CHA NNE 2020 January 16, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA September 21, 2020
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 MISSENYI December 19, 2020
  • MATOKEO KIDATO CHA SITA 2019 July 09, 2019
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WILAYA YA MISSENYI YAPOKEA SETI ZA VITI NA MEZA 100 KUTOKA BENKI YA MAENDELEO TIB

    February 09, 2021
  • HALMASHAURI YATOA MSAADA WA VIFAA VYA UJENZI KWA SHULE ZA SEKONDARI

    January 25, 2021
  • HALMASHAURI YATOA MKOPO WA TSH. 92,150,000.00 KWA VIKUNDI 15 VYA VIJANA NA WANAWAKE

    October 23, 2020
  • TIMU YA MENEJIMENTI YA HALMASHAURI YAKAGUA MIRADI 17 YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA NDANI YA HALMASHAURI

    October 15, 2020
  • Tazama zote

Video

Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa