• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MIKOPO: MILIONI 526.7 ZATOLEWA KWA VIKUNDI VYA VIJANA, WANAWAKE NA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: February 10th, 2023

Leo tarehe 10 Februari 2023 Baraza la madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi limeidhinisha mikopo itokanayo na asilimia 10 ya mapato ya ndani yenye thamani ya shilingi milioni 526.7 kwa vikundi vya vijana 22, wanawake 42 na 04 vya watu wenye ulemavu.

Akizungumza wakati wa utoaji wa mikopo hio mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Bw. Projestus Tegamaisho alisema kwamba mpaka sasa kajawa na vikundi vyenye uwezo mkubwa wa kuchukua angalau milioni 50 na wakafanya ujasiriamali na vikundi vya namba hii tunavihitaji laki bado havijapatikana wakati halmashauri ina uwezo wa kutoa fedha hizo.

"Kila wakifanya ukaguzi wanasema hali walioikuta inafanana na kiasi cha fedha mlizopewa sasa tunataka vikundi vinavyoweza kuchukua fedha nyingi" Alisema Bw. Tegamaisho

Aidha alisisriza kwamba baraza la Madiwani wamekubalia kwamba hii itakua mara ya mwisho kugawa pikipiki kwani vijana walio wengi wanaishia barabarani hali inayosababisha kupoteza vijana wengi kwenye ajali na wengine kukimbilia huko kwakuona ndio shughuli nyepesi ya kufanya.

"Tumejipanga kama baraza la madiwani kuhakikisha wilaya yetu inaingia katika kilimo cha Parachichi aina ya HASS na Mibuni ili tuweze kuingiza kipato cha kutosha kwa kuhakikisha tunagawa miche kila kaya bure na wataalamu wa kutoa elimu" alisema Bw. Tegamaisho.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Bw. Waziri Khachi Kombo alisema tutaendelea kukusanya mapato kwa hali na mali ili kuhakikisha fedha za mikopo zinapatikana kwa wingi zaidi ya hii iliyotolewa.

"Nitoe rai kwa wenye sifa za kukopa wachangamkie fursa hii haswa kwa kuweka vitega uchumi vinavyoeleweka na vitakavyorudisha fedha waliyopewa na serikali". Alisema Bw. Kombo.

Akitoa taarifa ķatika baraza la madiwani Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Bi. Beatrice Sanga alisema idadi ya vikundi vilivyo omba mkopo katika robo hii ya pili ya mwaka wa fedha 2022/23 vilikua vikundi 86 ambapo vikundi na vilivyokidhi vigezo ni 68 na vikundi 18 vilipoteza sifa.

"Sababu za kukosa sifa ni pamoja na Baadhi ya wanachama kuzidi umri haswa kwa vijana ambao wanapaswa kuwa na umri kuanzia miaka 18 hadi 35, baadhi ya vikundi kuwa na wanachama pungufu ya watano na baadhi yao kutofautiana sana wakayi wa mahojiano hali inayotupelekea kugundua kwamba mradi sio wa kikundi bali ni wa mtu mmoja au wawli” Alimema Bi. Sanga.

Ikumbukwe kwamba mikopo hii inayotolewa kutokana na asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri haina riba wala gharama ya namna yeyote na kiasi utakachopokea ndicho unachopaswa kurudisha na si vinginevyo.

.



Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8,2025 March 06, 2025
  • TANGAZO LA UTOAJI WA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO WILAYANI MISSENYI March 03, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025 February 24, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIOKOSA MIKOPO KWA AWAMU YA KWANZA WAPEWE ELIMU

    April 30, 2025
  • WANANCHI MISSENYI WAASWA KUENZI MUUNGANO KWA VITENDO

    April 26, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAJIRIDHISHA NA UTARATIBU WAKUBADILI JINA LA JIMBO LA UCHAGUZI NKENGE

    April 25, 2025
  • 60% YA MAPATO YA NDANI INAPELEKWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

    April 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HALMASHURI YATOA VITI MWENDO NA FIMBO NYEUPE KWA WALEMAVU
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa