• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

ZIARA YA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISSENYI KATIKA WILAYA YA KYERWA

Posted on: February 16th, 2023

Leo tarehe 15 Februari 2023 baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi limefanya ziara katika Halmashauri ya wilaya ya Kyerwa kwa ajili ya kujifunza namna walivyofanikiwa katika ukusanyaji wa mapato kupitia zao la kahawa ambalo kwa Wilaya ya Kyerwa limekua chanzo kikubwa kinacho ongoza kwa kuingizia Halmashari ya Kyerwa mapato mengi.

Baraza hili la madiwani Missenyi limeadhimia kuongeza mapato yatokanayo na kahawa kwani kwa mwaka wa fedha 2021/2022 halmashauri ya wilaya ya Missenyi ilikusanya shilingi milioni 145 ukilinganisha na Kyerwa amabayo imekusanya shilingi Bilioni 2 na ndio maana baraza likaamua kwenda katika Wilaya jirani kujifunza na kuona sababu zinazopelekea kupata mapato makubwa kupitia zao hili.

Hata hivyo kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023 Halmashauri ya Kyerwa kupitia zao la kahawa walipanga kukusanya shilingi Bilioni 1.2 lakini mpaka sasa wameshavuka lengo kwa kukusanya kwa asilimia 175 ambapo washakusanya shilingi bilioni 2.1 kwa chanzo hiki kimoja cha zao la kahawa.

Moja ya sababu ya kijiografia ambapo ilibainika katika ziara hii ni kwamba katika Wilaya ya Kyerwa wana eneo linalofaa kwa kilimo lipatalo hekta 26,000 wakati Missenyi ni Hekta 6,000 ambapo eneo la wilaya ya missenyi ni tambarare na linatuama maji ukilinganisha na Kyerwa ambapo kuna miinuko ya milima na mabonde.

Hata hivyo tija ya mti mmoja katika Wilaya ya Kyerwa una uzalishaji wa Wastani wa mti kwa kahawa ya maganda ni kilo 2.1 kwa Kyerwa wakati Missenyi ni Kilo 0.8 na hali hii imetokana na usambazaji wa miche bora iliosambazwa kwa wakulima, utunzaji mzuri Pamoja na udhibiti wa utoroshwaji wa kahawa kipindi cha mavuno.

ongeazeko la bei ya kahawa katika Wilaya ya Kyerwa ni jambo lililobainishwa na afisa kilimo wa Halmashauri hio kwa kwani kwa mwaka wa fedha uliopita 

Akizungumza katika ziara hio Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Mhe. Projestus Tegamaisho aliwapongeza Kyerwa kwa kuhakikisha kwamba Kahawa haisafirishwi nje ya Kyerwa kwa ajili ya kwenda kukobolewa ambapo kwa usimamizi wao mzuri wamefanikiwa kupata wawekezaji waliofungua viwanda vinne mpaka sasa na kahawa yao inakobolewa ndani ya Wilaya yao halik inayokongeza thamani, tija na ajira khwa wananchi wa Kyerwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico Lekayo alisema nawapongeza Halmashauri ya Missenyi kwa kufanya ziara katika Wilaya yao kwani ni mara ya kwanza kupokea waheshimiwa madiwani kutoka wilaya nyingine kwa ajili ya kuja kujifunza kwao na inatia Faraja sana katika mustakabali wa maendeleo ya taifa letu kwa ujumla.

Mafanikio ya Wilaya ya Kyerwa katika zao hili la Kahawa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri hio Mwl. Ndabazi Stephano Paulo alisema uchaguzi wa Miche bora na kinzani na magonjwa ya kahawa ni swala la muhimu sana na sio kuotesha tuu na jambo hili limesaidia sana katika kuongeza uzalishaji, aidha uzalishaji mkubwa wa miche bora wanaoufanya pamoja na ugawaji wa miche hio kwa wanachi wa halmashauri yao ambapo 2020/2021 miche 1,080,285 na kwa mwaka 2021/2022 waligawa miche 3,724,717 na kwa mwaka huu wa fedha 2022/2023 wanatarijia kugawa miche takribani milioni 2 kwa wakulima wa Kyerwa na miche mingine wanatarajia kugawia halmashauri jirani ili kuongeza uzalishaji katika taifa kwa ujumla.


Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8,2025 March 06, 2025
  • TANGAZO LA UTOAJI WA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO WILAYANI MISSENYI March 03, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025 February 24, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIOKOSA MIKOPO KWA AWAMU YA KWANZA WAPEWE ELIMU

    April 30, 2025
  • WANANCHI MISSENYI WAASWA KUENZI MUUNGANO KWA VITENDO

    April 26, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAJIRIDHISHA NA UTARATIBU WAKUBADILI JINA LA JIMBO LA UCHAGUZI NKENGE

    April 25, 2025
  • 60% YA MAPATO YA NDANI INAPELEKWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

    April 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HALMASHURI YATOA VITI MWENDO NA FIMBO NYEUPE KWA WALEMAVU
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa