• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

UKAGUZI WA MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 1.3 KWA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA 2022/23ROBO YA

Posted on: January 20th, 2023

Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango katika  Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi leo tarehe 20 Januari 2023 imefanya ziara ya  kukagua miradi ya maendeleo katika tarafa ya kiziba yenye thamani ya shilingi milioni 320 kutoka vyanzo mbalimbali vya fedha ikiwa ni pamoja na serikali kuu na mapato ya ndani ya Halmashauri.


Akiwa katika ziara ya siku mbili Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Missenyi Bw. Projestus Tegamaisho ameongoza kamati hiyo katika ukaguzi wa miradi 5 iliopo Tarafa ya Kiziba katika Kata za Kashenye, Kanyigo, Bugandika na Buyango.


Miradi hiyo iliyotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa Chumba kimoja kimoja  cha Darasa katika Shule za Sekondari za Kashenye, Bugandika na Buyango wenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa kila chumba kimoja huku chanzo cha fedha kikiwa ni serikali kuu, Mradi wa ukarabati wa Mwalo wa Kabindi wenye thamani ya shilingi Milioni 10 na chanzo cha fedha kikiwa ni Mapato ya Ndani na muendelezo wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Afya  Kanyigo kwa awamu ya pili katika jengo la Wazazi, Jengo la Kufulia na Jengo la Upasuaji huku gharama za ujenzi zikiwa ni shilingi Milioni 250 kutoka Serikali Kuu.


Bw. Tegamaisho amesisitiza kwamba  lengo mahsusi la ziara ni kufanya ukaguzi wa miradi inayoendelea kujengwa ili kujiridhisha ubora  wake pamoja na  kulinganisha thamani ya fedha zilizotolewa na serikali.


Siku ya Jumamosi terehe 21 Januari 2023 ziara itaelekea katika tarafa ya Missenyi  kukagua miradi 08 ya maendeleo yenye thamani ya shilingi Bilioni 1.0 iliopo katika Kata za Kyaka, Kassambya, Mushasha, Kakunyu  na Mutukula.


Miradi hiyo itakayotembelewa ni pamoja na Ujenzi wa Bweni shule ya Sekondari ya Kagera, Ujenzi wa chumba 1 cha darasa shule ya sekondari Kagera, Ujenzi wa jengo la abiria katika stendi ya Kyaka,Uakmilishaji wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu shule ya Msingi Bunazi,Matengenezo ya barabara ya Kyenjubu, Ujenzi wa hospitali ya Wilaya,Ujenzi wa chumba cha darasa Kakunyu Sekondari,Ujenzi wa kituo cha afya Kakunyu na Ujenzi wa eneo la maegesho Mutukula na ujenzi wa kalavati katika soko la mazao Mutukula.


Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8,2025 March 06, 2025
  • TANGAZO LA UTOAJI WA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO WILAYANI MISSENYI March 03, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025 February 24, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIOKOSA MIKOPO KWA AWAMU YA KWANZA WAPEWE ELIMU

    April 30, 2025
  • WANANCHI MISSENYI WAASWA KUENZI MUUNGANO KWA VITENDO

    April 26, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAJIRIDHISHA NA UTARATIBU WAKUBADILI JINA LA JIMBO LA UCHAGUZI NKENGE

    April 25, 2025
  • 60% YA MAPATO YA NDANI INAPELEKWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

    April 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HALMASHURI YATOA VITI MWENDO NA FIMBO NYEUPE KWA WALEMAVU
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa