• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

UBALOZI WA JAPAN WAKABIDHI MRADI WA BWENI LENYE THAMANI YA TSHS MILIONI 270.1 KAGERA SEKONDARI

Posted on: December 12th, 2024

Leo Desemba 12, 2024 umefanyika uzinduzi wa Mradi wa Bweni la wasichana lenye thamani ya Shilingi milioni 270.1 lenye uwezo wa kupokea wanafunzi 120 katika Shule ya Sekondari Kagera iliyopo Kata ya Kyaka katika Wilaya Missenyi.

Mradi huo uliofadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia Ubalozi wake nchini Tanzania na kutekelezwa na Taasisi ya MAPEC iliyopo Kata ya Kyaka Wilayani Missenyi ulianza kutekelezwa tarehe 2/5/2024 na kukamilika kabla ya muda tarehe 12/12/2024.

Akisoma taarifa ya ujenzi wa mradi huo Mkurugenzi Mtendaji kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la MAPEC Bw. George Buberwa Kachumita amesema kwamba lengo la mradi huo ni kuinua kiwango cha ufaulu kwa kutatua changamoto ya ongezeko la watoto wa kike kushindwa kumaliza shule kutokana na kutembea umbali mrefu kutoka nyumbani kwenda shule kwa wastani wa Kilomita 12 Kila siku.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Kanali (Mst) Hamis Maiga kwaniaba ya Mgeni rasmi wa hafla hiyo ambaye ni Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa ameishukuru Serikali ya Japan kupitia Ubalozi wake nchini Tanzania kwa kufadhili mradi huo wa ujenzi wa Bweni kupitia Shirika la MAPEC lenye Makao Makuu yake katika Kata ya Kyaka.

Kwa upande wake Mhe. Naibu Mkuu wa Ujumbe wa Japan nchini Tanzania Bw. Shoichi Ueda amesema kwamba anafuraha kusikia kwamba kukamilika kwa mradi huo kutanufaisha jumla ya wasichana 120 wa Shule ya Sekondari Kagera na anatumaini kwamba ujenzi wa Bweni hilo utafanya maisha ya wanafunzi wa kike kuwa ya furaha na utulivu zaidi.

Mradi huo wa Bweni la wasichana umegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni sehemu ya kulala wanafunzi yenye vitanda 60 vya kulaza wanafunzi wawili na kabati 30 za kutunzia vitabu kwa wanafunzi wanne kwa kila kabati, nyumba ya matroni kwaajili ya malezi na usalama wa wanafunzi wakati wote wawapo shuleni, Vyoo, bafu na karo za kufulia nguo.

Aidha, jengo limefungwa mfumo maalum wa usalama wa kuweza kuhisi mapema na kutoa mlio wa tahadhali ya ajali ya moto.

Tarifa Kwa Umma

  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA UFAFANUZI WA TAARIFA INAYOSAMBAA MITANDAONI KUHUSU BAADHI YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI MISSENYI KUWAAGIZA WANAFUNZI VYUMA CHAKAVU June 03, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MAPOKEZI YA SHILINGI MILIONI 445 MWEZI MEI KUTOKA SERIKALI KUU May 13, 2025
  • JIMBO LA NKENGE LIMEFANIKIWA KUBADILISHWA JINA RASMI NA KUWA JIMBO LA MISSENYI. May 12, 2025
  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MISSENYI YATIA SAINI MKATABA WA UJENZI SOKO LA KISASA BUNAZI

    June 20, 2025
  • MISSENYI YAPATA HATI SAFI MIAKA 10 MFULULIZO

    June 17, 2025
  • PONGEZI NA TUZO ZATOLEWA KWA WALIMU, SHULE NA KATA KWA UFAULU MWAKA 2024

    June 05, 2025
  • WAZAZI WAHIMIZWA KUSHIRIKI KAMPENI YA UTOAJI WA MATONE YA VITAMINI A

    June 05, 2025
  • Tazama zote

Video

TUMEPATA HATI SAFI, TUJIPONGEZE
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa