• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

TSH.MILIONI 139.2 ZATOLEWA KWA MAKUNDI YA VIJANA WANAWAKE NA WALEMAVU

Posted on: March 9th, 2021

Halmashauri ya Wilaya Missenyi imetoa mikopo isiyo na riba kiasi cha shilingi milioni 139.2 kwa  vikundi vya wajasiriamali 27

Zoezi lakukabidhi mikopo hiyo limefanyika leo jumanne tarehe 09/03/2021 wakati wa Mkutano wa Baraza Maalum la Madiwani kwa ajili ya kujadili Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamii halmashauri ya Missenyi Beatrice Sanga amesema kuwa kiasi cha shilingi 139,200,000/= kimekopeshwa kwa vikundi 27 ikiwa vikundi 14 ni vya wanawake milioni 61, vikundi 12 ni vya vijana waliokopeshwa milioni 75.2 na kikundi 1 cha watu wenye ulemavu waliokopeshwa  shilingi milioni 3

Bi Beatrice amesema kwa mwaka wa fedha 2020/2021 halmashauri ilipanga kutoa mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 245 asilimia 10 ya mapato yake ya ndani nakuwa kufikia leo imeshatoa kiasi cha shilingi milioni 205.5

Baada yakukabidhi mikopo hiyo iliyohusisha pikipiki na fedha, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Projestus Tegamaisho amevitaka vikundi vilivyokopeshwa kuhakikisha vinatumia fedha kwa malengo yaliyokusudiwa nakurejesha kwa wakati

"Moja ya tatizo tulilo nalo vikundi vingi vinakuwa na furaha wakati wakupokea lakini mnakuwa na matatizo wakati wa urejeshaji mpaka tunalazimika kuwatafuta kwa nguvu siyo tabia nzuri.Fedha tulizowapa zitumieni kama mlivyoomba msibadilishe matumizi tutakuja kuwakagua"amesema Tegamaisho

Kaimu Mkuu wa Wilaya Missenyi Godfrey Mheluka ameipongeza halmashauri kwakutelekeza matakwa ya kisheria nakuwataka waliokopeshwa kutumia vizuri fedha walizokopeshwa ziwasaidie kuwainua Kiuchumi Kama ilivyo dhamira ya serikali ya awamu ya tano ya Rais John Pombe Magufuli

"Fedha mlizopewa vsiyo zawadi ni za mzunguko zitumieni vizuri na mzirejeshe kwa wakati ili na wengine wakope.Nyie vijana msizitumie kuoa au kuongeza mke wa pili tunataka mjenge Uchumi wenu uendane na Tanzania iliyofikia Uchumi wa Kati" amesema Mheluka

Taarifa kwa hisani ya Respicius John RK

Tarifa Kwa Umma

  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA UFAFANUZI WA TAARIFA INAYOSAMBAA MITANDAONI KUHUSU BAADHI YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI MISSENYI KUWAAGIZA WANAFUNZI VYUMA CHAKAVU June 03, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MAPOKEZI YA SHILINGI MILIONI 445 MWEZI MEI KUTOKA SERIKALI KUU May 13, 2025
  • JIMBO LA NKENGE LIMEFANIKIWA KUBADILISHWA JINA RASMI NA KUWA JIMBO LA MISSENYI. May 12, 2025
  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • NGO's ZAASWA KUTOKUKUBALIANA NA MASHARTI MAGUMU YA WAFADHILI

    June 26, 2025
  • MISSENYI YATIA SAINI MKATABA WA UJENZI SOKO LA KISASA BUNAZI

    June 20, 2025
  • MISSENYI YAPATA HATI SAFI MIAKA 10 MFULULIZO

    June 17, 2025
  • PONGEZI NA TUZO ZATOLEWA KWA WALIMU, SHULE NA KATA KWA UFAULU MWAKA 2024

    June 05, 2025
  • Tazama zote

Video

TUMEPATA HATI SAFI, TUJIPONGEZE
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa