• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
      • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
      • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Fedha na Biashara
      • Idara ya Elimu Msingi
      • Divisheni ya Elimu Sekondari
      • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijiji
      • Idara ya Ardhi na Maliasili
      • Divisheni ya Mipango na Uratibu
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Watalii
    • Kilimo
    • Uvuvi
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayo Tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi ya Uviko19
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha mbalimbali

RC MWASSA: TUNATAKA KUWA KATIKA ORODHA YA MIKOA KUMI BORA KIUCHUMI

Posted on: September 18th, 2023

Leo tarehe 18 Septemba, 2023 Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa amefungua mafunzo ya siku tano ya Uongozi kwa viongozi wa Mkoa wa Kagera.


Mafunzo haya yamejumuisha Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Wilaya, Wakurugenzi, Viongozi wa Chama ngazi ya Mkoa na Wilaya, Wakuu wa Diviseheni na Vitengo ngazi ya Mkoa na Halmashauri zote za Mkoa wa Kagera, Wakuu wa Taasisi za serikali kama RUWASA, BUWASA, TANROADS, TARURA, TANESCO, REA na TRA.


Wawezeshaji wanaotarajiwa kuwezesha Mafunzo haya ni pamoja na Katibu Mkuu CCM Mhe. Daniel Chonholo, Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajjat Fatma Mwassa, Mhe.Mohamed Mchengerwa ( Mb) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt Galvin Kweka kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili, Mhe. Jumanne Sagini (Mb) Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mstaafu Kanali Joseph Simbakalia, Dkt Jamal Msami. Dkt Ernest Mwaswaliba, Bw. Hamis Mjanja, Wataamu kutoka NBS, Benki kuu nk.


"Lengo la mafunzo haya ni kufanya tathmini ya hapa tulipo sasa kama Mkoa  na kuweza kuja na mpango mkakati wa kutoka nafasi ya pili kutoka mwisho kiuchumi na kuingia katika orodha  ya Mikoa kumi bora kiuchumi katika nchi yetu". Alisema Mhe. Mwassa.


 Aidha Mhe. Mwassa aliwataka washiriki wote kuhakikisha wanashiriki kikamilifu kwani baada ya mafunzo haya kwa pamoja tunataka kutoka na uelewa wa pamoja


Mafunzo haya yameanza leo tarehe 18 Septemba, 2023 na yatahitimishwa siku ya ijumaa tarehe 22 Septemba, 2023 katika ukumbi wa ELCT  uliopo Bukoba Manispaa.


Tarifa Kwa Umma

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA MWAKA 2023 SHULE ZOTE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISSENYI November 23, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MUDA (MKATABA) NAFASI ZA AFISA BIASHARA II (NAFASI 1) NA AFISA WANYAMAPORI II (NAFASI 1) November 13, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA (MKATABA) November 03, 2023
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO KUANZIA TAREHE 21 HADI 24 SEPTEMBA, 2023. September 15, 2023
  • Tazama zote

Habari mpya

  • MIRADI YENYE THAMANI YA TSHS BILIONI 1.1 IMEKAGULIWA KWA ROBO YA KWANZA YA 2023/24.

    October 16, 2023
  • MWENYEKITI WA UWT TAIFA AKAGUA MIRADI YENYE THAMANI YA TSHS BILIONI 11.9 MISSENYI

    October 06, 2023
  • TUZO: MISSENYI DC YAIBUKA MSHINDI WA PILI KWA UTOAJI WA HUDUMA.

    September 22, 2023
  • WAZIRI MKUU: KITUO CHA AFYA KIFUNGULIWE NDANI YA SIKU TANO.

    September 23, 2023
  • Tazama zote

Video

Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • JINSI YA KUOMBA MKOPO KUTOKA BODI YA MKOPO
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa