• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN BILIONI 6.6 ZAPOKELEWA NA KUTUMIKA MISSENYI

Posted on: March 22nd, 2022

Kwa kipindi cha mwaka mmoja wa serikali inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan Wilaya Missenyi  imepokea na kutumia zaidi ya shilingi bilioni 6.6 kwa ajili ya utekelezaji miradi ya Maendeleo.

Hayo yamesemwa na Katibu wa CCM Wilaya Missenyi Bakari Mwacha wakati akisoma taarifa ya mafanikio ya Wilaya  katika Mkutano wa hadhara wa wananchi uliofanyika tarehe 20 Machi 2022 katika Kata ya Mushasha.  Amesema kuwa chini ya Uongozi wa Rais Samia wamepokea nakutumia shilingi bilioni 6.648 kutekeleza miradi ya Maendeleo katika sekta ya Elimu, Afya,kilimo,ufugaji, miundombinu ya stendi na maegesho pamoja na mikopo isiyo na riba kwa wanawake,vijana na watu wenye ulemavu "Ndani ya Mwaka mmoja wa Rais tumefanikiwa kuanza Ujenzi wa hospitali ya Wilaya tayari majengo ya OPD na maabara yapo hatua ya ukamilishaji, Ujenzi wa vituo viwili vya afya katika Kata ya Kakunyu na Kanyigo unaendelea na miradi mingine mingi.Tunamshukuru Sana Mama " Amesema Bakari Mwacha

Kwa Upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya Missenyi Projestus Tegamaisho ameishukuru serikali ya awamu ya sita kwakutoa fedha nyingi zilizowezesha miradi mingi kukamilishwa kwa wakati bila michango ya Wananchi nakwamba haijapata kutokea serikali kutoa fedha nyingi kama hizo ndani ya Mwaka mmoja " Majengo ya hospitali ya Wilaya yamesimama,Shule shikizi zimejengwa,vituo vya afya vinajengwa,Miradi ya maji inatekelezwa sisi Missenyi hatuna lakumsema Mama zaidi yakumuombea afya njema" Amesema Tegamaisho.

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya Missenyi Kanali Wilson Sakulo amesema kuwa Wilaya Missenyi Rais ameipendelea kwakuipatia kiasi kikubwa cha fedha na kwamba kazi iliyofanyika siyo ya kubezwa anasitahili kupongezwa huku akiwata wananchi kuunga mkono jitihada zake

Kwa Upande wake Mjumbe wa Kamati ya Siasa Mkoa Kagera Eumachius Kalinjuna amesema kuwa ameridhika na utekelezaji wa miradi ya Maendeleo pia akampongeza Mwenyekiti wa Halmashauri Projestus Tegamaisho kwa uongozi wake bora wakuisimamia Halmashauri nakuwezesha mafanikio yaliyopatikana ndani ya Mwaka mmoja

"Missenyi ina Kiongozi jembeā€

Cc  Respicius John

Tarifa Kwa Umma

  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA UFAFANUZI WA TAARIFA INAYOSAMBAA MITANDAONI KUHUSU BAADHI YA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI WILAYANI MISSENYI KUWAAGIZA WANAFUNZI VYUMA CHAKAVU June 03, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA MAPOKEZI YA SHILINGI MILIONI 445 MWEZI MEI KUTOKA SERIKALI KUU May 13, 2025
  • JIMBO LA NKENGE LIMEFANIKIWA KUBADILISHWA JINA RASMI NA KUWA JIMBO LA MISSENYI. May 12, 2025
  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • NGO's ZAASWA KUTOKUKUBALIANA NA MASHARTI MAGUMU YA WAFADHILI

    June 26, 2025
  • MISSENYI YATIA SAINI MKATABA WA UJENZI SOKO LA KISASA BUNAZI

    June 20, 2025
  • MISSENYI YAPATA HATI SAFI MIAKA 10 MFULULIZO

    June 17, 2025
  • PONGEZI NA TUZO ZATOLEWA KWA WALIMU, SHULE NA KATA KWA UFAULU MWAKA 2024

    June 05, 2025
  • Tazama zote

Video

TUMEPATA HATI SAFI, TUJIPONGEZE
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa