• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MRADI MPYA WA BOOST KUJENGA VYUMBA 12,000 VYA MADARASA

Posted on: December 22nd, 2022

Mafunzo Elekezi kuhusu Mradi wa BOOST yanayofanyika kikanda yameanza leo tarehe 22 Disemba 2022 katika kanda ya Ziwa Magharibi inayojumuisha Mkoa wa Kagera na Kigoma ambapo jumla ya Maafisa 207 kutoka ngazi ya Halmashauri na Mikoa wanatarajiwa kupata mafunzo haya katika kanda hii.

Mafunzo haya yalioandaliwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI na yatafanyika kwa siku mbili katika Mkoa wa Kigoma katika chuo cha Ualimu cha KASULU kilichopo katika Wilaya ya Kasulu.

Mradi wa BOOST utagharimu shilingi Trilioni 1.15 kwa nchi nzima na unalenga kujenga jumla ya vyumba vipya vya madarasa 12,000 katika shule za msingi na kuwesha kutekeleza mpango wa shule salama katika shule za msingi 6,000 hapa nchini.

Mradi unatekelezwa hapa nchini kwa kipindi cha miaka 5 kuanzia mwaka 2021/2022 hadi mwaka 2025/2026 na kunufaisha halmashauri zote 184 hapa nchini hususani katika kuboresha miundombinu ya elimu ya Awali na Elimu Msingi.

Aidha Mradi wa BOOST unatarajiwa kuboresha mazingira ya ujifunzaji na Ufundishaji, Ujuzi na Ubora wa walimu katika ufundishaji, pamoja na kuimarisha upatikanaji wa rasilimali za utoaji huduma za elimu ngazi ya Halmashauri Pamoja na kuongeza uwiano wa uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya awali kutoka asilimia 76.9 hadi kufikia asilimia 85 mwaka 2025/2026.

Ikumbukwe kwamba mradi huu unatekelezwa kwa mfumo wa lipa kutokana na matokeo yanayopatikana hivyo Halmashauri ambazo zitatimiza vigezo kwa kiwango kikubwa ndizo zitakazonufaika zaidi kwa kupatiwa fedha nyingi za kuboresha miundombinu pamoja na ununuzi wa vifaa na vitendea kazi kwa elimu ya Awali na Msingi.

Wajumbe wa timu za usimamizi wa mradi wa BOOST ngazi ya Halmashauri inajumuisha Afisa Elimu Msingi, Afisa Maendeleo ya Jamii, Mhandisi, Mwalimu Mkuu, Afisa Manunuzi, Mthibiti Ubora wa Shule, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Elimu Kata, Afisa Mipango, Afisa Habari na Mratibu wa Mradi wa BOOST na ngazi ya Mkoa inaundwa na Afisa Elimu Mkoa, Mratibu wa Mradi wa BOOST, Mhandisi, Afisa Habari, Afisa Maendeleo ya Jamii, Afisa Ustawi wa Jamii, Afisa Mipango na Mthibiti Ubora wa Shule Kanda.


Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8,2025 March 06, 2025
  • TANGAZO LA UTOAJI WA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO WILAYANI MISSENYI March 03, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025 February 24, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIOKOSA MIKOPO KWA AWAMU YA KWANZA WAPEWE ELIMU

    April 30, 2025
  • WANANCHI MISSENYI WAASWA KUENZI MUUNGANO KWA VITENDO

    April 26, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAJIRIDHISHA NA UTARATIBU WAKUBADILI JINA LA JIMBO LA UCHAGUZI NKENGE

    April 25, 2025
  • 60% YA MAPATO YA NDANI INAPELEKWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

    April 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HALMASHURI YATOA VITI MWENDO NA FIMBO NYEUPE KWA WALEMAVU
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa