• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

MISSENYI DC: UJENZI WA VYUMBA VIPYA VYA MADARASA UMEFIKIA ASILIMIA 98%

Posted on: November 27th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi leo tarehe 27 Novemba 2022 amefanya ukaguzi katika Miradi ya ujenzi wa Vyumba vipya 10 vya madarasa vinavyojengwa katika sehemu mbali mbali za Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi kwa ajili ya Wanafunzi watakaoingia kidato cha kwanza mwaka 2023.

Akitoa taarifa ya ujenzi Wakati akiwa katika shule ya Sekondari Kashenye Mkurugenzi Mtendaji amesema amefurahishwa na hatua za ujenzi wa chumba kimoja cha darasa katika shule hio ambapo wameweza kumaliza ujenzi kwa asilimia mia moja hata kabla ya muda uliopangwa kufika.

Aidha alitoa tathmini ya hali ya ujenzi kwa ujumla katika Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi kwamba mpaka kufika leo hii ujenzi umefikia asilimia 98% kwa wilaya nzima isipokua shule hii ya Kashenye Sekondari wameweza kufikia asilimia 100%.

“Niwapongeze Shule ya Sekondari Kashenye kwa kufanya vizuri sana katika ujenzi kwani katika maeneo mengine tuliopita wameonekana kuwa na baadhi ya mapungufu kidogo ikiwemo kutowekwa kwa Viti na Meza ambavyo kwasasa vipo katika hatua za umaliziaji” Alisema Bw. Kombo

Aidha aliwaagiza wale ambao hawajafikia asilimia mia moja wahakikishe ndani ya siku mbili wanamalizia kwani muda tuliopewa ulikua mpaka kufikia tarehe 25 Novemba 2022 umeshakwisha.

“Nitoe rai kwa wazazi kwamba wasiwe na wasiwasi kuhusu vyumba vya madarasa kwani vipo tayari kwa ajili ya Watoto wetu  kusoma wawalete Watoto wao pindi ifikapo Januari 2023 ” Alisem Bw. Kombo.

Alimshukuru Mhemiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha anaboresha sekta ya elimu kwa kutupatia vyumba hivi vya Madarasa.

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Shule ya Sekondari kashenye Mwl. Baraka Abel amemshukuru Mhesimiwa Rais na kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuboresha miundombinu ya kujifunzia na mazingira ya walimu kufanya kazi kwa ufanisi.

Ikumbukwe kwamba mwezi Septemba 2022 tulipokea shilingi milioni 200 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba wa vyumba 10 vya madarasa katika shule 09 za Sekondari ambazo ni Shuleya Sekondari Bunazi, Gabulanga, Kakunyu, Bugandika, Buyango, Kashenye, Minziro,Kager ana Shule ya Sekondari Kilimilile.


Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA WILAYANI MISSENYI April 14, 2025
  • TANGAZO LA MWALIKO MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MACHI 8,2025 March 06, 2025
  • TANGAZO LA UTOAJI WA HUDUMA ZA UZAZI WA MPANGO WILAYANI MISSENYI March 03, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI WA ROBO YA PILI YA MWAKA 2024/2025 February 24, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • WALIOKOSA MIKOPO KWA AWAMU YA KWANZA WAPEWE ELIMU

    April 30, 2025
  • WANANCHI MISSENYI WAASWA KUENZI MUUNGANO KWA VITENDO

    April 26, 2025
  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI YAJIRIDHISHA NA UTARATIBU WAKUBADILI JINA LA JIMBO LA UCHAGUZI NKENGE

    April 25, 2025
  • 60% YA MAPATO YA NDANI INAPELEKWA KWENYE MIRADI YA MAENDELEO

    April 24, 2025
  • Tazama zote

Video

HALMASHURI YATOA VITI MWENDO NA FIMBO NYEUPE KWA WALEMAVU
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa