• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
MISSENYI DISTRICT COUNCIL
MISSENYI DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Missenyi
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni na Vitengo
      • Divisheni
        • Divisheni ya Elimu ya Awali na Msingi
        • Divisheni ya Elimu Sekondari
        • Divisheni ya Mipango na Uratibu
        • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo Vijijini na Mjini
        • Divisheni ya Utawala na Usimamizi Rasilimali Watu
        • Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
        • Divisheni ya Maendeleo ya Jamii
        • Divisheni ya Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
        • Divisheni ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
      • Vitengo
        • Kitengo cha Sanaa, Utamaduni na Michezo
        • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
        • Kitengo cha Huduma za Kisheria
        • Kitengo cha TEHAMA
        • Kitengo cha Maliasili na Hifadhi ya Mazingira
        • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
        • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
        • Kitengo cha Huduma za Manunuzi
        • Kitengo cha Usimamizi wa Taka na Usafi wa Mazingira
    • Tarafa
      • Tarafa ya Missenyi
        • Kata ya Mutukula
        • Kata ya Minziro
        • Kata ya Nsunga
        • Kata ya Kakunyu
        • Kata ya Kassambya
        • Kata ya Kyaka
        • Kata ya Mushasha
        • Kata ya Kilimilile
        • Kata ya Mabale
        • Kata ya Bugorora
      • Tarafa ya Kiziba
        • Kata ya Bugandika
        • Kata ya Kitobo
        • Kata ya Buyango
        • Kata ya Ruzinga
        • Kata ya Bwanjai
        • Kata ya Gera
        • Kata ya Ishozi
        • Kata ya Ishunju
        • Kata ya Kanyigo
        • Kata ya Kashenye
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Mifugo
    • Huduma za Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Kiuchumi
      • Kamati ya Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Kudhibiti ukimwi
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha

HIZI NDIO MADA ZILIZOJADILIWA NA WADAU MBALIMBALI WIKI YA UWEKEZAJI KAGERA

Posted on: August 16th, 2019

Wiki ya uwekezaji Kagera ilizinduliwa rasmi siku ya tarehe 14-08-2019 katika viwanja vya Gymkana manispaa ya Bukoba.  Mh Kassim Majaliwa  waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa ndiye mgeni rasmi wa kongamano la wiki ya kagera amezindua pia kitabu cha mwongozo wa uwekezaji Kagera.

Wadau, wawekezaji na wafanyabiashara mbalimbali katika kongamano walijadili mada mbalimbali zinazohusu fursa za uwekezaji kwa kuzichambua kwa undani zaidi.

Katika kongamano hilo, jumla ya mada nane zimejadiliwa na wataalam kutoka Sekta mbalimbali za umma na Sekta binafsi huku majadiliano yakilenga namna bora ya kuondoa vikwazo mbali mbali katika uwekezaji ili kuinua uchumi wa mkoa wa Kagera.

Mada mbalimbali zilizowasilishwa na kujadiliwa na wadau mbalimbali ni pamoja na:-

Mazingira ya jumla ya kibiashara na jukumu la mamlaka za kisheria katika kusaidia uwekezaji, Pili; Mkoa wa kagera kama kitovu cha biashara katika nchi za Afrika Mashariki na Kati (Biashara za Mipakani), Tatu, Kutumia fursa za uwekezaji Kagera katika sekta za kilimo, mifugo, uvuvi na Viwanda, Tano; Ni namna gani changamoto ya lishe katika mkoa wa Kagera

Mada  nyingine zilizojadiliwa ni pamoja na; Ni namna gani fursa za utalii ambazo hazijatumika izinaweza kutumika katika uwekezaji kwenye mkoa wa Kagera, sita; Nafasi ya huduma za kijamii kwa ukuaji wa uchumi wa mkoa wa Kagera, saba huduma za kifedha kama kichocheo cha uwekezaji na mada ya mwisho ni ujue Mkoa wa Kagera iliyotolewa na Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba Method Kilaini.

Mara baada ya mada hizo kujadiliwa, Wafanyabiasha kutoka nchi za Rwanda na Burundi walipata nafasi ya kukutana Wafanyabiashara wa Mkoa wa Kagera na kuwa na mazungumzo ya kibiashara.

Wiki ya Uwekezaji Kagera inatarajiwa Kufungwa rasmi tarehe leo tarehe 16/08/2019 huku maonyesho ya fursa mbalimbali yakiendelea hadi Jumapili ya tarehe 19-08-2019.

Tarifa Kwa Umma

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MUDA (MKATABA) YA UDEREVA November 19, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MWANDISHI MWENDESHA OFISI, MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU NA DEREVA November 14, 2025
  • ORODHA YA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA WATENDAJI WA UCHAGUZI NGAZI YA VITUO October 22, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA KARANI, WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA JIMBO LA MISSENYI October 10, 2025
  • Tazama zote

Habari mpya

  • DC MAIGA AWATAKA WAZAZI WASICHOKE KUWAPA WATOTO MLO KAMILI

    November 20, 2025
  • DED MISSENYI ALETA KLINIKI YA ARDHI KATIKA KATA YA KYAKA NA MUTUKULA

    November 19, 2025
  • UFUNGUZI WA MAFUNZO KWA WASIMAMIZI NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA JIMBO LA MISSENYI

    October 26, 2025
  • BILIONI 3.4 ZA RAIS SAMIA KUTATUA CHANGAMOTO YA HUDUMA ZA AFYA WILYA YA MISSENYI

    October 16, 2025
  • Tazama zote

Video

TUMEPATA HATI SAFI, TUJIPONGEZE
Video nyinginezo

Kurasa za Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Sheria ndogo za Halmashauri

Tovuti Muhimu

  • Tovuti ya Mkoa Kagera
  • Tovuti ya Ajira
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Tovuti ya Serikali Kuu
  • Tovuti ya TAMISEMI

Watembeleaji walipo

world map hits counter

Waliotembelea tovuti

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi

    Sanduku la Posta: 38 Kyaka - MISSENYI

    Namba ya Simu ya mezani: +255 28 298 2836

    Namba ya simu : +255 28 298 2836

    Barua pepe: ded@missenyidc.go.tz

Anuani zaidi

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hatimiliki @2017 Wilaya ya Missenyi. Haki zote zimehifadhiwa